TUICO YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYAKAZI WA NBC PLC

http://www.tuico-union.org/2020/06/tuico-yaendesha-semina-kwa-wafanyakazi.html
Wafanyakazi wa NBC Bank Plc ambao pia ni Wanachama wa Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers - TUICO
walipokuwa walipewa Semina ya Mafunzo kuhusu hatua Kuendesha Kikao
Kinidhamu wawepo kazini na Sheria za Kazi na Mahusiano Kazini.
Semina hiyo ikitotewa na Mkuu wa Sekta ya Fedha Comrade Willy Kibona ,Mwenyekiti wa Kanda ya Dar Es Salaam - NBC ,Ndugu Khalid Mfaume pamoja na Mwanasheria Msomi kutoka Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers - TUICO Makao Makuu Jamal Ngowo.
Semina hiyo ikitotewa na Mkuu wa Sekta ya Fedha Comrade Willy Kibona ,Mwenyekiti wa Kanda ya Dar Es Salaam - NBC ,Ndugu Khalid Mfaume pamoja na Mwanasheria Msomi kutoka Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers - TUICO Makao Makuu Jamal Ngowo.
Pamoja na Elimu hiyo Wanachama hao walipata fursa ya kutoa maoni,Changamoto na kutoa Ushauri kama Wanachama.
Semina hiyo ilifanyika Ofisi za Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers - TUICO Makao Makuu Ilala Sharif Shamba Dar es Salaam, Tanzania wiki iliyopita.
#TUICO
#NBCPLC
Semina hiyo ilifanyika Ofisi za Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers - TUICO Makao Makuu Ilala Sharif Shamba Dar es Salaam, Tanzania wiki iliyopita.
#TUICO
#NBCPLC